Sitti Mtemvu atema taji Miss Tanzania 2014
TUHUMA za kufanya udanganyifu, ikiwemo kughushi umri, ili kushiriki shindano la kutafuta mrembo wa Taifa – Miss Tanzania 2014 – zimemgharimu Sitti Mtemvu ambaye sasa amelivua taji. MwanaHALISI Online...
View ArticleWasanii chipukizi waomba ushirikiano kwa wakongwe
WADAU wa sekta ya Sanaa nchini Tanzania wametakiwa kuungana na kushirikiana katika kazi zao ili kuleta ushindani kwa nchi za jirani katika tasnia hiyo ya sanaa. Rai hiyo ilitolewa jana na mkurugenzi wa...
View Article